Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:23 - Swahili Revised Union Version

Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida, bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida, bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Hukata mifereji kati ya majabali; Na jicho lake huona kila kito cha thamani.


Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi.


Je! Hawakosi wawazao mabaya? Bali fadhili na kweli zina wao wawazao mema.


Taji la wenye hekima ni mali zao; Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.


Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?


Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.


Tena, pamoja na hayo, hujifunza kuwa wavivu, wakizungukazunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi na wadadisi, wakinena maneno yasiyowapasa.