Methali 14:23 - Swahili Revised Union Version23 Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida, bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida, bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu. Tazama sura |