Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:24 - Swahili Revised Union Version

24 Taji la wenye hekima ni mali zao; Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Mali ni taji ya fahari ya wenye hekima, lakini ujinga ni shada la wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Mali ni taji ya fahari ya wenye hekima, lakini ujinga ni shada la wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Mali ni taji ya fahari ya wenye hekima, lakini ujinga ni shada la wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Utajiri wa wenye hekima ni taji lao, bali upumbavu wa wapumbavu huzaa upumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Utajiri wa wenye hekima ni taji yao, bali upumbavu wa wapumbavu huzaa upumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Taji la wenye hekima ni mali zao; Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu.

Tazama sura Nakili




Methali 14:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Baraka ya BWANA hutajirisha, Wala hachanganyi huzuni nayo.


Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote.


Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.


Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.


Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.


Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.


Nami nawaambia, Jifanyieni rafiki kwa mali ya duniani, ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo