Methali 14:25 - Swahili Revised Union Version25 Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya. Tazama sura |