Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:25 - Swahili Revised Union Version

25 Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.

Tazama sura Nakili




Methali 14:25
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.


Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.


Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


nikiwashuhudia Wayahudi na Wagiriki wamtubie Mungu, na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.


Mkijua kwanza neno hili ya kwamba katika siku za mwisho watakuja na dhihaka zao watu wenye kudhihaki, wafuatao tamaa zao wenyewe,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo