Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 3:9 - Swahili Revised Union Version

9 Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?

Tazama sura Nakili




Mhubiri 3:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.


Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?


Kisha nikaziangalia kazi zote zilizofanywa kwa mikono yangu, na taabu yote niliyotaabika katika kuzitenda; na tazama, yote ni ubatili na kufukuza upepo, wala faida hakuna chini ya jua.


Hiyo ndiyo balaa mbaya sana, ya kwamba kama vile alivyokuja, vivyo hivyo atakwenda zake; naye amefaidiwa nini mwenye kujitaabisha kwa ajili ya upepo?


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


watiini watu kama hawa, na kila mtu afanyaye kazi pamoja nao, na kujitaabisha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo