Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 13:5 - Swahili Revised Union Version

Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwadilifu huuchukia uongo, lakini mwovu hutenda kwa aibu na fedheha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwadilifu huuchukia uongo, lakini mwovu hutenda kwa aibu na fedheha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwadilifu huuchukia uongo, lakini mwovu hutenda kwa aibu na fedheha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye haki huchukia uongo, bali waovu huleta aibu na fedheha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye haki huchukia uongo, bali waovu huleta aibu na fedheha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 13:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Nimeuchukia uongo, umenikirihi, Sheria yako nimeipenda.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Ajapo asiye haki, huja dharau pia; Na pamoja na aibu huja lawama.


Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.


Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.


Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;


Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani.


Na huko mtazikumbuka njia zenu, na matendo yenu yote, ambayo mmejitia unajisi kwayo; nanyi mtajichukia katika macho yenu wenyewe, kwa sababu ya maovu yenu yote mliyoyatenda.


Ndipo mtazikumbuka njia zenu mbaya, na matendo yenu yasiyokuwa mema, nanyi mtajichukia nafsi zenu kwa macho yenu, kwa sababu ya maovu yenu na machukizo yenu.


Na hao wa kwenu watakaookoka watanikumbuka kati ya mataifa, watakakochukuliwa mateka, jinsi nilivyoiponda mioyo yao ya kikahaba, iliyoniacha, na macho yao, yaendayo kufanya uasherati na vinyago vyao; nao watajichukia nafsi zao machoni pao wenyewe, kwa sababu ya mabaya yao yote, waliyoyatenda kwa machukizo yao yote.


Tena, wengi wa hao wanaolala katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele, wengine aibu na kudharauliwa milele.


Nami nikawakatilia mbali wachungaji watatu katika mwezi mmoja; maana nafsi yangu ilikuwa imechoka kwa ajili yao, na nafsi zao pia walinichukia.


Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.


Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake;


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Akamwambia Wakinifunga tu kwa kamba mpya ambazo mtu hakufanya kazi nazo, hapo ndipo nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu.