Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 3:35 - Swahili Revised Union Version

35 Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbavu watapata fedheha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbavu watapata fedheha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbavu watapata fedheha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Wenye hekima hurithi heshima, bali huwaaibisha wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Wenye hekima hurithi heshima, bali huwaaibisha wapumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.

Tazama sura Nakili




Methali 3:35
11 Marejeleo ya Msalaba  

Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji lake litasitawi.


Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.


Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.


Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.


Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote.


Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


akaja yule aliyewaalika wewe na yeye, na kukuambia, Mpishe huyu! Ndipo utakapoanza kwa haya kushika mahali pa nyuma.


Kwa sababu hiyo, BWANA, Mungu wa Israeli, asema, Ni kweli, nilisema ya kuwa nyumba yako, na nyumba ya baba yako itakwenda mbele zangu milele; lakini sasa BWANA asema, Jambo hili na liwe mbali nami; kwa maana wao wanaoniheshimu nitawaheshimu, na wao wanaonidharau nitawadharau.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo