Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 12:9 - Swahili Revised Union Version

Afadhali mtu anayedharauliwa, ikiwa ana mtumwa, Kuliko ajisifuye, ikiwa anahitaji chakula.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Afadhali mtu anayedharauliwa, ikiwa ana mtumwa, Kuliko ajisifuye, ikiwa anahitaji chakula.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 12:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili.


Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.


Kuna mtu anayejitajirisha, lakini hana kitu; Kuna anayejifanya kuwa maskini, lakini ana mali nyingi.


Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.


Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.