Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 12:27 - Swahili Revised Union Version

Mtu mvivu hapiki mawindo yake; Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwindaji mvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwindaji mvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwindaji mvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mvivu haoki mawindo yake, bali mtu mwenye bidii ana mali ya thamani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mvivu haoki mawindo yake, bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mvivu hapiki mawindo yake; Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 12:27
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.


Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.


Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Kuwa na mali chache pamoja na kumcha BWANA; Ni bora kuliko mali nyingi pamoja na taabu.


Afadhali mali kidogo pamoja na haki, Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.


Tena ujitie kisu kooni, Kama ukiwa mlafi.


Kama vile mlango ugeukavyo katika bawaba zake; Kadhalika mtu mvivu katika kitanda chake.


Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Kwamchosha kuupeleka tena kinywani pake.