Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 12:2 - Swahili Revised Union Version

Mtu mwema atapata upendeleo kwa BWANA; Bali mtu wa hila atahukumiwa naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mwema hufadhiliwa na Mwenyezi-Mungu, lakini mwenye nia mbaya hulaaniwa na Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mwema hufadhiliwa na Mwenyezi-Mungu, lakini mwenye nia mbaya hulaaniwa na Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mwema hufadhiliwa na Mwenyezi-Mungu, lakini mwenye nia mbaya hulaaniwa na Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Mwenyezi Mungu, bali Mwenyezi Mungu humhukumu mwenye hila.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa bwana, bali bwana humhukumu mwenye hila.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mwema atapata upendeleo kwa BWANA; Bali mtu wa hila atahukumiwa naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 12:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Absalomu humwambia, Tazama, maneno yako ni mema yenye haki; lakini hapana mtu aliyeagizwa na mfalme kukusikiliza.


Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.


Mataifa wamezama katika shimo walilolichimba; Kwa wavu waliouficha imenaswa miguu yao.


Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama.


Yeye aonaye hasira upesi atatenda kwa ujinga; Na mtu mwenye hila mbaya huzirwa.


Je! Hawakosi wawazao mabaya? Bali fadhili na kweli zina wao wawazao mema.


Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.


Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie roho; Wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa; Wala hakuna kuponyoka katika vita vile; Wala uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea.


Maana alikuwa mtu mwema amejaa Roho Mtakatifu na imani; watu wengi wakaongezeka upande wa Bwana.


Kwa kuwa ni shida mtu kufa kwa ajili ya mtu mwenye haki; lakini yawezekana mtu kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu aliye mwema.