Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:3 - Swahili Revised Union Version

3 Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mtu hawi imara kwa kutenda maovu, lakini hakuna kiwezacho kumngoa mtu mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mtu hawi imara kwa kutenda maovu, lakini hakuna kiwezacho kumngoa mtu mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mtu hawi imara kwa kutenda maovu, lakini hakuna kiwezacho kumng'oa mtu mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe.

Tazama sura Nakili




Methali 12:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hatakuwa tajiri, wala mali zake hazitadumu, Wala mavuno yao hayatainama nchi.


Asiyetoa fedha yake apate kula riba, Asiyepokea rushwa amwangamize asiye na hatia. Mtu atendaye mambo hayo Hataondoshwa milele.


Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.


Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake.


Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.


Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie roho; Wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa; Wala hakuna kuponyoka katika vita vile; Wala uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea.


Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;


wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani.


na ibarikiwe busara yako, na ubarikiwe wewe, uliyenizuia hivi leo nisimwage damu, wala kujilipiza kisasi kwa mkono wangu mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo