Methali 12:3 - Swahili Revised Union Version3 Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Mtu hawi imara kwa kutenda maovu, lakini hakuna kiwezacho kumngoa mtu mwadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Mtu hawi imara kwa kutenda maovu, lakini hakuna kiwezacho kumngoa mtu mwadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Mtu hawi imara kwa kutenda maovu, lakini hakuna kiwezacho kumng'oa mtu mwadilifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe. Tazama sura |