Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:7 - Swahili Revised Union Version

Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwovu akifa tumaini lake nalo hutoweka; tazamio la asiyemcha Mungu huishia patupu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwovu akifa tumaini lake nalo hutoweka; tazamio la asiyemcha Mungu huishia patupu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwovu akifa tumaini lake nalo hutoweka; tazamio la asiyemcha Mungu huishia patupu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Matumaini yaliyo katika wanadamu hufa pamoja nao; ahadi zote za uwezo wao hubatilika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka; yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu zake huwa si kitu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.


Pumzi yake inapomtoka, anarudi katika udongo wake, Siku iyo hiyo mipango yake hutoweka.


Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.


Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.


Mwenye haki huokolewa katika dhiki, Na mtu mwovu ataiingia badala yake.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Je! Utazidi kusema mbele yake huyo akuuaye, Mimi ni mungu? Lakini u mwanadamu, wala si Mungu, mkononi mwake akutiaye jeraha.