Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:8 - Swahili Revised Union Version

Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye hekima moyoni hutii amri, lakini mpumbavu aropokaye ataangamia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye hekima moyoni hutii amri, lakini mpumbavu aropokaye ataangamia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye hekima moyoni hutii amri, lakini mpumbavu aropokaye ataangamia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo, lakini mpumbavu apayukaye huangamia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo, lakini mpumbavu apayukaye huangamia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.


Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.


Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.


Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.


Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.


Usimkaripie mwenye dharau, asije akakuchukia; Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.


Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima; Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu;


Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.


Ni nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aoneshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima.