Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:28 - Swahili Revised Union Version

Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tumaini la mwadilifu huishia kwenye furaha, lakini tazamio la mwovu huishia patupu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tumaini la mwadilifu huishia kwenye furaha, lakini tazamio la mwovu huishia patupu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tumaini la mwadilifu huishia kwenye furaha, lakini tazamio la mwovu huishia patupu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tarajio la mwenye haki ni furaha, bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tarajio la mwenye haki ni furaha, bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:28
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Ndivyo ulivyo mwisho wa hao wamsahauo Mungu; Na matumaini yake huyo mbaya huangamia;


Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.


Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nayo nafsi yangu inashangilia, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.


Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake, Mwimbieni wimbo yeye apitaye katika mawingu, Jina lake ni YAHU; Shangilieni mbele zake.


Haja ya mwenye haki ni kupata mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu huishia katika ghadhabu.


Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.


kwa tumaini, mkifurahi; katika dhiki, mkisubiri; mkidumu katika kusali;


Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.


ambaye kwa yeye tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani yake; na kufurahi katika tumaini la utukufu wa Mungu.


Na Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu, aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema,