Methali 29:6 - Swahili Revised Union Version6 Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mwovu hutegwa na dhambi yake mwenyewe, bali mwenye haki hushangilia na kufurahi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi. Tazama sura |