Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 29:6 - Swahili Revised Union Version

6 Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mwovu hutegwa na dhambi yake mwenyewe, bali mwenye haki hushangilia na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.

Tazama sura Nakili




Methali 29:6
19 Marejeleo ya Msalaba  

Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa joto Na viwe fungu la kikombe chao.


Sauti ya furaha na wokovu Imo hemani mwao wenye haki; Mkono wa kulia wa BWANA hutenda makuu.


Na makuhani wake nitawavika wokovu, Na watauwa wake watashangilia.


Nuru humwangazia mwenye haki, Na furaha ni kwa wanyofu wa moyo.


Ndipo Musa na wana wa Israeli wakamwimbia BWANA wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia BWANA, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.


Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Miiba na mitego huwa katika njia ya mshupavu; Yeye aitunzaye nafsi yake atakuwa mbali nayo.


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Maana mwanadamu naye hajui wakati wake; kama samaki wanaokamatwa katika nyavu mbaya, na mfano wa ndege wanaonaswa mtegoni, kadhalika wanadamu hunaswa katika wakati mbaya, unapowaangukia kwa ghafla.


wapate tena fahamu zao, na kutoka katika mtego wa Ibilisi, ambaye amewanasa, hata wakayafanya mapenzi yake.


Ndugu zangu, hesabuni ya kuwa ni furaha tupu, mkiangukia katika majaribu mbalimbali;


Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamumwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu,


Na haya tunayaandika, ili furaha yetu itimizwe.


Ndipo watu wa Israeli wakageuka, na watu wa Benyamini walishtushwa; kwa kuwa waliona ya kwamba wamefikiwa na maafa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo