Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:10 - Swahili Revised Union Version

Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akonyezaye kwa nia mbaya huzusha taabu, lakini aonyaye kwa ujasiri huleta amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akonyezaye kwa nia mbaya huzusha taabu, lakini aonyaye kwa ujasiri huleta amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akonyezaye kwa nia mbaya huzusha taabu, lakini aonyaye kwa ujasiri huleta amani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni, naye mpumbavu apayukaye huangamia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni, naye mpumbavu apayukaye huangamia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae?


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.


Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.


Kwa hiyo, nikija, nitayakumbuka matendo yake atendayo, atoavyo upuzi juu yetu kwa maneno maovu; wala hatoshwi na hayo, ila yeye mwenyewe hawakaribishi hao ndugu, na wale watakao kuwakaribisha, huwazuia, na kuwatoa katika kanisa.