Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:30 - Swahili Revised Union Version

30 Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Anayekonyeza jicho kwa hila amepanga maovu; anayekaza midomo amekwisha nuia mabaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Anayekonyeza jicho kwa hila amepanga maovu; anayekaza midomo amekwisha nuia mabaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Anayekonyeza jicho kwa hila amepanga maovu; anayekaza midomo amekwisha nuia mabaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Yeye akonyezaye kwa jicho lake anapanga upotovu; naye akazaye midomo yake amenuia mabaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Yeye akonyezaye kwa jicho lake anapanga upotovu; naye akazaye midomo yake amenuia mabaya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.

Tazama sura Nakili




Methali 16:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Mtu asiyefaa kitu huchimba shimo la madhara; Katika midomo yake mna moto uteketezao.


Mtu mkali humshawishi mwenzake; Humwongoza katika njia isiyo njema.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Zifanye akili za watu hawa zipumbae, na uyatie uzito masikio yao, na uyafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.


Mikono yao ni hodari kwa kutenda maovu; afisa na hakimu wanataka rushwa, mtu mkubwa hunena madhara yaliyomo rohoni mwake; hivyo ndivyo wayafumavyo hayo pamoja.


Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao, Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.


Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo