Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:29 - Swahili Revised Union Version

29 Mtu mkali humshawishi mwenzake; Humwongoza katika njia isiyo njema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Mtu mkatili humshawishi jirani yake; humwongoza katika njia mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Mtu mkatili humshawishi jirani yake; humwongoza katika njia mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Mtu mkatili humshawishi jirani yake; humwongoza katika njia mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Mtu mkali humvuta jirani yake na kumwongoza katika mapito yale mabaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Mtu mkali humvuta jirani yake na kumwongoza katika mapito yale mabaya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Mtu mkali humshawishi mwenzake; Humwongoza katika njia isiyo njema.

Tazama sura Nakili




Methali 16:29
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hii aliajiriwa, ili mimi niogope, nikafanye hivyo na kutenda dhambi, kisha wao wawe nazo habari mbaya, ili wanishutumie.


Asiyemcha Mungu humpoteza jirani yake kwa kinywa chake; Bali wenye haki watapona kwa maarifa.


Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.


Mtu mshupavu huleta fitina; Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.


Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.


Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.


Basi, wapenzi kwa kuwa mmejua hayo, jihadharini msije mkapotoshwa na kosa la hao wahalifu mkaanguka na kuuacha uthabiti wenu.


Kisha Sauli akatuma wajumbe mpaka nyumbani kwa Daudi, ili wamvizie na kumwua asubuhi; naye Mikali, mkewe Daudi, akamwambia, akasema, Wewe usipojiponya nafsi yako usiku huu, kesho utauawa.


Sauli akamwambia Mikali, Mbona wewe umenidanganya hivi, na kumwacha adui yangu aende, hata ameniponyoka? Naye Mikali akamjibu Sauli, Yeye aliniambia, Niache niende zangu; kwa nini nikuue?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo