Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:28 - Swahili Revised Union Version

28 Mtu mshupavu huleta fitina; Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Mtu mpotovu hueneza ugomvi, mfitini hutenganisha marafiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Mtu mpotovu hueneza ugomvi, mfitini hutenganisha marafiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Mtu mpotovu hueneza ugomvi, mfitini hutenganisha marafiki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Mtu mpotovu huchochea ugomvi, nayo maongezi ya upuzi huwatenganisha rafiki wa karibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Mtu mpotovu huchochea ugomvi, nayo maongezi ya upuzi hutenganisha marafiki wa karibu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Mtu mshupavu huleta fitina; Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.

Tazama sura Nakili




Methali 16:28
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Mtu asiyefaa kitu huchimba shimo la madhara; Katika midomo yake mna moto uteketezao.


Mtu mkali humshawishi mwenzake; Humwongoza katika njia isiyo njema.


Rafiki hupenda sikuzote; Na ndugu amezaliwa kwa siku ya taabu.


Afunikaye kosa hutafuta kupendwa; Bali yeye afichuaye siri hutenga rafiki.


Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.


Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.


Mna upotovu moyoni mwake, hutunga uovu daima, Hupanda mbegu za magomvi.


Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.


Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,


Maana nachelea, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekana kwenu si kama vile mtakavyo; nisije nikakuta labda fitina na wivu, na ghadhabu, na ugomvi, na masingizio, na manong'onezo, na majivuno, na ghasia;


Daudi akamwambia Sauli, Kwa nini unasikiliza maneno ya watu wasemao, Tazama, Daudi anataka kukudhuru?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo