Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:33 - Swahili Revised Union Version

Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini kila anisikilizaye atakaa salama, atatulia bila kuogopa mabaya.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini kila anisikilizaye atakaa salama, atatulia bila kuogopa mabaya.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini kila anisikilizaye atakaa salama, atatulia bila kuogopa mabaya.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:33
22 Marejeleo ya Msalaba  

Kama wakisikia na kumtumikia, Watapisha siku zao katika kufanikiwa, Na miaka yao katika furaha.


Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;


Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya.


Kumcha BWANA ni tumaini imara; Watoto wake watakuwa na kimbilio.


Maana, kwa msaada wangu siku zako zitazidishwa; Na miaka ya maisha yako itaongezwa.


Ijapokuwa mwenye dhambi amefanya maovu mara mia na akazidisha siku zake; lakini hata hivyo najua hakika ya kwamba itakuwa heri kwao wamchao Mungu, wenye kicho mbele zake;


Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.


Na kazi ya haki itakuwa amani; na mazao ya haki yatakuwa ni utulivu na matumaini daima.


Laiti ungalisikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingalikuwa kama mto wa maji, na haki yako kama mawimbi ya bahari;


Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.


Kwa sababu hii zitendeni amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzifanya; nanyi mtakaa katika hiyo nchi salama.


Nayo nchi itazaa matunda yake, nanyi mtakula na kushiba, na kuishi humo salama.


Alipokuwa bado akisema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.


Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu.


Nanyi mtakaposikia habari za vita na fitina, msitishwe; maana, hayo hayana budi kutukia kwanza, lakini ule mwisho hauji upesi.


Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ili mpate wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.