Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 1:33 - Swahili Revised Union Version

33 Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Lakini kila anisikilizaye atakaa salama, atatulia bila kuogopa mabaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Lakini kila anisikilizaye atakaa salama, atatulia bila kuogopa mabaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Lakini kila anisikilizaye atakaa salama, atatulia bila kuogopa mabaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.

Tazama sura Nakili




Methali 1:33
22 Marejeleo ya Msalaba  

Kama wakisikia na kumtumikia, Watapisha siku zao katika kufanikiwa, Na miaka yao katika furaha.


Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;


Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya.


Kumcha BWANA ni tumaini imara; Watoto wake watakuwa na kimbilio.


Maana, kwa msaada wangu siku zako zitazidishwa; Na miaka ya maisha yako itaongezwa.


Ijapokuwa mwenye dhambi amefanya maovu mara mia na akazidisha siku zake; lakini hata hivyo najua hakika ya kwamba itakuwa heri kwao wamchao Mungu, wenye kicho mbele zake;


Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.


Na kazi ya haki itakuwa amani; na mazao ya haki yatakuwa ni utulivu na matumaini daima.


Laiti ungalisikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingalikuwa kama mto wa maji, na haki yako kama mawimbi ya bahari;


Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.


Kwa sababu hii zitendeni amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzifanya; nanyi mtakaa katika hiyo nchi salama.


Nayo nchi itazaa matunda yake, nanyi mtakula na kushiba, na kuishi humo salama.


Alipokuwa bado akisema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.


Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu.


Nanyi mtakaposikia habari za vita na fitina, msitishwe; maana, hayo hayana budi kutukia kwanza, lakini ule mwisho hauji upesi.


Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ili mpate wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo