Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 81:13 - Swahili Revised Union Version

13 Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 “Laiti watu wangu wangenisikiliza, laiti Israeli wangefuata njia zangu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 “Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;

Tazama sura Nakili




Zaburi 81:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Laiti ungalisikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingalikuwa kama mto wa maji, na haki yako kama mawimbi ya bahari;


Lakini hawakusikiliza, wala kutega sikio lao, bali walikwenda kwa mashauri yao wenyewe, na kwa ushupavu wa mioyo yao mibaya, wakaenda nyuma wala si mbele.


Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku awakusanyavyo pamoja vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!


Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao.


Laiti wangekuwa na moyo kama huu ndani yao sikuzote, wa kunicha, na kushika amri zangu zote sikuzote, wapate kufanikiwa wao na watoto wao milele!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo