Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 6:12 - Swahili Revised Union Version

Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku moja Yesu alikwenda mlimani kusali, akakesha huko usiku kucha akisali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku moja Yesu alikwenda mlimani kusali, akakesha huko usiku kucha akisali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku moja Yesu alikwenda mlimani kusali, akakesha huko usiku kucha akisali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikawa katika siku hizo Isa alienda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ikawa katika siku hizo Isa alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 6:12
23 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.


Kwa nafsi yangu nimekutamani wakati wa usiku; Naam, kwa nafsi yangu ndani yangu nitakutafuta mapema; Maana hukumu zako zikiwapo duniani, Watu wakaao duniani hujifunza haki.


Hata Danieli, alipojua ya kuwa yale maandiko yamekwisha kutiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, (na madirisha katika chumba chake yalikuwa yamefunguliwa kuelekea Yerusalemu;) akapiga magoti mara tatu kila siku, akasali, akashukuru mbele za Mungu wake, kama alivyokuwa akifanya tokea hapo.


Naye alipowaona makundi ya watu, alipanda mlimani; na alipokwisha kuketi, wanafunzi wake walimjia;


Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko.


Akapanda mlimani, akawaita aliowataka mwenyewe; wakamwendea.


Hata alipokwisha kuagana nao akaenda zake mlimani kuomba.


Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.


Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.


Akashuka pamoja nao, akasimama mahali tambarare, pamoja na wanafunzi wake wengi, na makutano makubwa ya watu waliotoka Yudea wote na Yerusalemu, na pwani ya Tiro na Sidoni; waliokuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao;


Ikawa alipokuwa akisali kwa faragha, wanafunzi wake walikuwapo pamoja naye, akawauliza, Je! Makutano hao wanasema ya kuwa mimi ni nani?


Baada ya maneno hayo yapata siku nane, aliwatwaa Petro na Yohana na Yakobo, akapanda mlimani ili kuomba.


Ikawa katika kusali kwake sura ya uso wake ikageuka, mavazi yake yakawa meupe, yakimetameta.


Naye Yesu akapanda mlimani, akaketi huko pamoja na wanafunzi wake.


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Najuta kwa sababu nimemtawaza Sauli awe mfalme; maana amerudi nyuma, asinifuate, wala hakufanya nilivyomwamuru. Samweli akasikitika, akamlilia BWANA usiku kucha.