Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 22:2 - Swahili Revised Union Version

2 Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu; napiga yowe usiku, lakini nafuu sipati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu; napiga yowe usiku, lakini nafuu sipati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu; napiga yowe usiku, lakini nafuu sipati.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 22:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, hadi lini Utayaghadhibikia maombi ya watu wako?


Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako.


Umejifunika nafsi yako kwa wingu, Maombi yetu yasipite.


Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.


Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.


Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao?


Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.


usiku na mchana tunapoomba kwa juhudi tupate kuwaona nyuso zenu, na kuurekebisha upungufu wa imani yenu?


Namshukuru Mungu, nimwabuduye kwa dhamiri safi tangu zamani za wazee wangu, kama vile nikukumbukavyo wewe daima, katika kuomba kwangu usiku na mchana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo