Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 5:16 - Swahili Revised Union Version

16 Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Lakini mara kwa mara Isa alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Lakini mara kwa mara Isa alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Lakini yeye alikuwa akijitenga, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.

Tazama sura Nakili




Luka 5:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipokwisha kuwaaga makutano, alipanda mlimani faraghani, kwenda kuomba. Na kulipokuwa jioni, alikuwako huko peke yake.


Hata alipokwisha kuagana nao akaenda zake mlimani kuomba.


Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba, mbingu zilifunuka;


Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.


Baada ya maneno hayo yapata siku nane, aliwatwaa Petro na Yohana na Yakobo, akapanda mlimani ili kuomba.


Ikawa katika kusali kwake sura ya uso wake ikageuka, mavazi yake yakawa meupe, yakimetameta.


Kisha Yesu, alipotambua ya kuwa walitaka kuja kumshika ili wamfanye mfalme, akajitenga, akaenda tena mlimani yeye peke yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo