Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 9:28 - Swahili Revised Union Version

28 Baada ya maneno hayo yapata siku nane, aliwatwaa Petro na Yohana na Yakobo, akapanda mlimani ili kuomba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Yapata siku nane baada ya kusema hayo, Yesu aliwachukua Petro, Yohane na Yakobo, akaenda nao mlimani kusali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Yapata siku nane baada ya kusema hayo, Yesu aliwachukua Petro, Yohane na Yakobo, akaenda nao mlimani kusali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Yapata siku nane baada ya kusema hayo, Yesu aliwachukua Petro, Yohane na Yakobo, akaenda nao mlimani kusali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Yapata siku nane baada ya Isa kusema hayo, aliwachukua Petro, Yohana na Yakobo, akaenda nao mlimani kuomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Yapata siku nane baada ya Isa kusema hayo, aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana, akaenda nao mlimani kuomba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Baada ya maneno hayo yapata siku nane, aliwatwaa Petro na Yohana na Yakobo, akapanda mlimani ili kuomba.

Tazama sura Nakili




Luka 9:28
18 Marejeleo ya Msalaba  

Badala ya upendo wangu wao hunishitaki, Ijapokuwa niliwaombea.


Naye alipokwisha kuwaaga makutano, alipanda mlimani faraghani, kwenda kuomba. Na kulipokuwa jioni, alikuwako huko peke yake.


Naye alipowaona makundi ya watu, alipanda mlimani; na alipokwisha kuketi, wanafunzi wake walimjia;


Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko.


Hata alipokwisha kuagana nao akaenda zake mlimani kuomba.


Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba, mbingu zilifunuka;


Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.


Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.


Alipofika nyumbani hakuruhusu mtu kuingia pamoja naye ila Petro, na Yohana, na Yakobo, na babaye yule mtoto na mamaye.


Ikawa alipokuwa akisali kwa faragha, wanafunzi wake walikuwapo pamoja naye, akawauliza, Je! Makutano hao wanasema ya kuwa mimi ni nani?


Naye Yesu akapanda mlimani, akaketi huko pamoja na wanafunzi wake.


Hii ndiyo mara yangu ya tatu kuja kwenu. Kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno litathibitishwa.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Maana hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, tulipowajulisha ninyi nguvu zake Bwana wetu Yesu Kristo na kuja kwake; bali tulikuwa tumeuona wenyewe ukuu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo