Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:2 - Swahili Revised Union Version

akasema, BWANA ndiye jabali langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alisema, “Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu, na mkombozi wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alisema, “Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu, na mkombozi wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alisema, “Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu, na mkombozi wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akasema: “Mwenyezi Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akasema: “bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akasema, BWANA ndiye jabali langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Maana ni nani aliye Mungu, ila BWANA? Ni nani aliye mwamba, ila Mungu wetu?


Mungu ndiye ngome yangu yenye nguvu; Naye huwaongoza wakamilifu katika njia yake.


Mungu wa Israeli alisema, Mwamba wa Israeli aliniambia, Atawalaye wanadamu kwa haki, Akitawala katika kicho cha Mungu,


Mwamba wangu na ngome yangu, Nguzo yangu na mwokozi wangu Ngao yangu ninayemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.


Ndiwe mwamba wangu na ngome yangu; Kwa ajili ya jina lako uniongoze na unichunge.


Nitamwambia Mungu, mwamba wangu, Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?


Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu, Ngome imara ya wokovu wangu. Maana wewe, Ndiwe mwamba wangu na ngome yangu.


Atasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.


Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama.


Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Yeye Mwamba, kazi yake ni kamilifu; Maana, njia zake zote ni haki. Mungu wa uaminifu, asiye na uovu, Yeye ndiye mwenye haki na adili.


Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu.


Basi Sauli na watu wake wakaenda kumtafuta. Watu wakamwambia Daudi; basi kwa hiyo akashuka mpaka mwambani, akakaa nyikani pa Maoni. Naye Sauli alipopata habari, alimwinda Daudi nyikani pa Maoni.


Ndipo Sauli akatwaa watu elfu waliochaguliwa katika Israeli wote, akaenda kumtafuta Daudi na watu wake juu ya majabali ya mbuzi-mwitu.