Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 22:2 - Swahili Revised Union Version

2 akasema, BWANA ndiye jabali langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Alisema, “Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu, na mkombozi wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Alisema, “Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu, na mkombozi wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Alisema, “Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu, na mkombozi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Akasema: “Mwenyezi Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Akasema: “bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 akasema, BWANA ndiye jabali langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu,

Tazama sura Nakili




2 Samueli 22:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Maana ni nani aliye Mungu, ila BWANA? Ni nani aliye mwamba, ila Mungu wetu?


Mungu ndiye ngome yangu yenye nguvu; Naye huwaongoza wakamilifu katika njia yake.


Mungu wa Israeli alisema, Mwamba wa Israeli aliniambia, Atawalaye wanadamu kwa haki, Akitawala katika kicho cha Mungu,


Mwamba wangu na ngome yangu, Nguzo yangu na mwokozi wangu Ngao yangu ninayemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.


Ndiwe mwamba wangu na ngome yangu; Kwa ajili ya jina lako uniongoze na unichunge.


Nitamwambia Mungu, mwamba wangu, Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?


Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu, Ngome imara ya wokovu wangu. Maana wewe, Ndiwe mwamba wangu na ngome yangu.


Atasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.


Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama.


Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Yeye Mwamba, kazi yake ni kamilifu; Maana, njia zake zote ni haki. Mungu wa uaminifu, asiye na uovu, Yeye ndiye mwenye haki na adili.


Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu.


Basi Sauli na watu wake wakaenda kumtafuta. Watu wakamwambia Daudi; basi kwa hiyo akashuka mpaka mwambani, akakaa nyikani pa Maoni. Naye Sauli alipopata habari, alimwinda Daudi nyikani pa Maoni.


Ndipo Sauli akatwaa watu elfu waliochaguliwa katika Israeli wote, akaenda kumtafuta Daudi na watu wake juu ya majabali ya mbuzi-mwitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo