2 Samueli 22:1 - Swahili Revised Union Version1 Basi Daudi akamwambia BWANA maneno ya wimbo huu, siku ile BWANA alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na mkononi mwa Sauli; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Daudi alimwimbia Mwenyezi-Mungu maneno ya wimbo ufuatao siku ile Mwenyezi-Mungu alipomkomboa mikononi mwa adui zake, na mkononi mwa Shauli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Daudi alimwimbia Mwenyezi-Mungu maneno ya wimbo ufuatao siku ile Mwenyezi-Mungu alipomkomboa mikononi mwa adui zake, na mkononi mwa Shauli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Daudi alimwimbia Mwenyezi-Mungu maneno ya wimbo ufuatao siku ile Mwenyezi-Mungu alipomkomboa mikononi mwa adui zake, na mkononi mwa Shauli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Daudi alimwimbia Mwenyezi Mungu maneno ya wimbo huu Mwenyezi Mungu alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Daudi alimwimbia bwana maneno ya wimbo huu wakati bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Basi Daudi akamwambia BWANA maneno ya wimbo huu, siku ile BWANA alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na mkononi mwa Sauli; Tazama sura |