Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 24:2 - Swahili Revised Union Version

2 Ndipo Sauli akatwaa watu elfu waliochaguliwa katika Israeli wote, akaenda kumtafuta Daudi na watu wake juu ya majabali ya mbuzi-mwitu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kisha Shauli aliwachukua askari 3,000 wateule waliokuwa bora zaidi katika nchi yote ya Israeli, akaenda kumtafuta Daudi na watu wake katika Miamba ya Mbuzimwitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kisha Shauli aliwachukua askari 3,000 wateule waliokuwa bora zaidi katika nchi yote ya Israeli, akaenda kumtafuta Daudi na watu wake katika Miamba ya Mbuzimwitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kisha Shauli aliwachukua askari 3,000 wateule waliokuwa bora zaidi katika nchi yote ya Israeli, akaenda kumtafuta Daudi na watu wake katika Miamba ya Mbuzimwitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Basi Sauli akachukua vijana wenye uwezo elfu tatu kutoka Israeli yote kwenda kumtafuta Daudi na watu wake karibu na Majabali ya Mbuzi-Mwitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Basi Sauli akachukua watu hodari 3,000 kutoka Israeli yote kwenda kumsaka Daudi na watu wake karibu na Majabali ya Mbuzi-Mwitu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Ndipo Sauli akatwaa watu elfu waliochaguliwa katika Israeli wote, akaenda kumtafuta Daudi na watu wake juu ya majabali ya mbuzi-mwitu.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 24:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, BWANA ndiye jabali langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu,


Je! Wajua majira ya kuzaa kwao mbuzi-mwitu walio majabalini? Au waweza kusema majira ya kuzaa kwa kulungu?


Milima mirefu ndiko waliko mbuzi wa mwitu, Na magenge ni kimbilio lao wibari.


Wakuu wao wakiangushwa kando ya genge, Watayasikia maneno yangu, maana ni matamu.


Mtu asiye haki humvizia mwenye haki, Na kutafuta jinsi ya kumwua.


Nao wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego; Nao wanaotaka kunidhuru hunena mabaya; Na kufikiri hila mchana kutwa.


Naye Sauli alijichagulia watu elfu tatu wa Israeli; ambao katika hao, elfu mbili walikuwa pamoja na Sauli katika Mikmashi, na katika mlima wa Betheli na elfu moja pamoja na Yonathani katika Gibea ya Benyamini; nao wale watu waliosalia akawaruhusu waende kila mtu hemani kwake.


Basi Sauli akarudi kutoka kumwinda Daudi, akaenda kupigana na Wafilisti; kwa hiyo wakapaita mahali pale, Selahamalekothi.


Basi Sauli akaondoka, akashuka nyikani kwa Zifu, naye alikuwa na watu elfu tatu, wateule wa Israeli, pamoja naye, ili kumtafuta Daudi katika nyika ya Zifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo