Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 24:1 - Swahili Revised Union Version

1 Ikawa, Sauli aliporudi baada ya kuwafuatia Wafilisti, aliambiwa ya kwamba, Daudi yuko katika nyika ya Engedi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Shauli aliporudi kutoka kupigana na Wafilisti, aliambiwa kuwa Daudi yuko kwenye mbuga za Engedi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Shauli aliporudi kutoka kupigana na Wafilisti, aliambiwa kuwa Daudi yuko kwenye mbuga za Engedi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Shauli aliporudi kutoka kupigana na Wafilisti, aliambiwa kuwa Daudi yuko kwenye mbuga za Engedi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Baada ya Sauli kurudi kuwafuatia Wafilisti, akaambiwa kwamba, “Daudi yuko katika Jangwa la En-Gedi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Baada ya Sauli kurudi kuwafuatia Wafilisti, akaambiwa kwamba, “Daudi yuko katika Jangwa la En-Gedi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Ikawa, Sauli aliporudi baada ya kuwafuatia Wafilisti, aliambiwa ya kwamba, Daudi yuko katika nyika ya Engedi.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 24:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki.


Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.


Wasingiziaji wamekuwamo ndani yako, ili kumwaga damu; na ndani yako wamekula juu ya milima; kati yako wamefanya uasherati.


Tena itakuwa, wavuvi watasimama karibu nao; toka Engedi mpaka En-eglaimu, patakuwa ni mahali pa kutandazia nyavu; samaki wao watakuwa namna zao mbalimbali, kama samaki wa bahari kubwa, wengi sana.


Humfurahisha mfalme kwa uovu wao, na wakuu wao kwa uongo wao.


na Nibshani, na huo Mji wa Chumvi, na Engedi; miji sita, pamoja na vijiji vyake.


Ndipo wale Wazifi wakakwea kwa Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha kwetu ngomeni mwa Horeshi, kilimani pa Hakila upande wa kusini wa Yeshimoni?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo