Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:31 - Swahili Revised Union Version

Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: “Mwalimu, kula chakula.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: “Mwalimu, kula chakula.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: “Mwalimu, kula chakula.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wakimsihi, “Mwalimu, kula.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wakimsihi, “Mwalimu, kula angalau chochote.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:31
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akaandaliwa chakula, lakini akasema, Sili mpaka niseme kwanza maneno yangu. Akamwambia, Haya, sema.


na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.


Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.


Yuda, yule mwenye kumsaliti, akajibu, akasema, Ni mimi, Rabi? Akamwambia, Wewe umesema.


Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.


Petro akakumbuka habari yake, akamwambia, Rabi, tazama, mtini ulioulaani umenyauka.


Basi alipokuja, mara akamwendea, akasema, Rabi, akambusu.


Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabi, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.


Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?


Nathanaeli akamjibu, Rabi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe Mfalme wa Israeli.


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?


Huyo alimjia usiku, akamwambia, Rabi, tunajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, isipokuwa Mungu yu pamoja naye.


Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea.


Basi wakatoka mjini, wakamwendea.


Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.


Hata walipomwona ng'ambo ya bahari, walimwambia, Rabi, wewe umekuja lini hapa?


Wanafunzi wake wakamwuliza wakisema, Rabi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu?