Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 23:7 - Swahili Revised Union Version

7 na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:7
19 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaokaa sokoni, wanaowaita wenzao, wakisema,


Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.


Yuda, yule mwenye kumsaliti, akajibu, akasema, Ni mimi, Rabi? Akamwambia, Wewe umesema.


Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.


Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyie nini? Yule kipofu akamwambia, Mwalimu wangu, nataka nipate kuona.


Petro akakumbuka habari yake, akamwambia, Rabi, tazama, mtini ulioulaani umenyauka.


Akawaambia katika mafundisho yake, Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni,


Basi alipokuja, mara akamwendea, akasema, Rabi, akambusu.


Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabi, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.


Ole wenu, Mafarisayo, kwa kuwa mwapenda kuketi mbele katika masinagogi, na kusalimiwa masokoni.


Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?


Nathanaeli akamjibu, Rabi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe Mfalme wa Israeli.


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?


Yesu akamwambia, Mariamu. Yeye akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, Raboni! (Yaani, Mwalimu wangu).


Huyo alimjia usiku, akamwambia, Rabi, tunajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, isipokuwa Mungu yu pamoja naye.


Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea.


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.


Hata walipomwona ng'ambo ya bahari, walimwambia, Rabi, wewe umekuja lini hapa?


Wanafunzi wake wakamwuliza wakisema, Rabi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo