Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 23:6 - Swahili Revised Union Version

6 hupenda viti vya mbele katika karamu, na kuketi mbele katika masinagogi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wanapenda kukalia viti vya heshima katika karamu, na vile viti maalum sana katika masinagogi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wanapenda kukalia viti vya heshima katika karamu, na vile viti maalum sana katika masinagogi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 hupenda viti vya mbele katika karamu, na kuketi mbele katika masinagogi,

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Wataka nini? Akamwambia, Agiza kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja mkono wako wa kulia, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika ufalme wako.


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Nililiandikia kanisa neno, lakini Diotrefe, apendaye kuwa wa kwanza kati yao, hatukubali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo