Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:8 - Swahili Revised Union Version

8 Wale wanafunzi wakamwambia, Rabi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Wanafunzi wakamwambia, “Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Wanafunzi wakamwambia, “Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Wanafunzi wakamwambia, “Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wanafunzi wake wakamwambia, “Mwalimu, Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe, nawe unataka kurudi huko?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wanafunzi wake wakamwambia, “Mwalimu, Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe, nawe unataka kurudi huko?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Wale wanafunzi wakamwambia, Rabi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?

Tazama sura Nakili




Yohana 11:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.


Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.


Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.


Wakatafuta tena kumkamata; lakini akatoka mikononi mwao.


na watu wengi katika Wayahudi walikuwa wamekuja kwa Martha na Mariamu, ili kuwafariji kwa ajili ya ndugu yao.


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na huduma ile niliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Habari Njema ya neema ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo