Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:9 - Swahili Revised Union Version

9 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Yesu akajibu, “Je, saa za mchana si kumi na mbili? Basi, mtu akitembea mchana hawezi kujikwaa kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Yesu akajibu, “Je, saa za mchana si kumi na mbili? Basi, mtu akitembea mchana hawezi kujikwaa kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Yesu akajibu, “Je, saa za mchana si kumi na mbili? Basi, mtu akitembea mchana hawezi kujikwaa kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Isa akawajibu, “Si kuna saa kumi na mbili za mchana katika siku moja? Wanaotembea mchana hawawezi kujikwaa, kwa maana wanaona kwa nuru ya ulimwengu huu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Isa akawajibu, “Si kuna saa kumi na mbili za mchana katika siku moja? Wala watembeao mchana hawawezi kujikwaa kwa maana wanaona nuru ya ulimwengu huu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama, Wala mguu wako hautakwaa.


Watakuja kwa kulia, na kwa maombi nitawaongoza; nitawapitisha kwenye mito ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza wangu.


Bali akienda usiku hujikwaa; kwa sababu nuru haimo ndani yake.


Basi Yesu akawaambia, Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo. Nendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza lisije likawaweza; maana aendaye gizani hajui aendako.


Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenituma maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi.


Yeye ampendaye ndugu yake, akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo