Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 10:15 - Swahili Revised Union Version

Na Roho Mtakatifu naye amshuhudia; kwa maana, baada ya kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia Roho wa Mungu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia Roho wa Mwenyezi Mungu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Roho Mtakatifu naye amshuhudia; kwa maana, baada ya kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 10:15
18 Marejeleo ya Msalaba  

Roho ya BWANA ilinena ndani yangu, Na neno lake likawa ulimini mwangu.


Lakini miaka mingi ukachukuliana nao, nawe ukawashuhudia kwa roho yako kwa vinywa vya manabii wako; wao wasitake kusikiliza; kwa hiyo ukawatia katika mikono ya watu wa nchi.


Yohana alimshuhudia, akapaza sauti yake akasema, Huyu ndiye niliyenena habari zake ya kwamba, Ajaye nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla yangu.


Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia.


Na walipokuwa hawapatani wao kwa wao, wakaenda zao, Paulo alipokwisha kusema neno hili moja, ya kwamba, Roho Mtakatifu alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya,


Kwa hiyo, kama anenavyo Roho Mtakatifu, Leo, kama mkisikia sauti yake,


Roho Mtakatifu akionesha neno hili, ya kwamba njia ya kupaingia patakatifu ilikuwa haijadhihirishwa bado, hapo hema ya kwanza ilipokuwa ingali ikisimama;


Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.