Waebrania 10:14 - Swahili Revised Union Version14 Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata milele hao wanaotakaswa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Basi, kwa tambiko yake moja, amewafanya kuwa wakamilifu milele wote wale wanaotakaswa dhambi zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Basi, kwa tambiko yake moja, amewafanya kuwa wakamilifu milele wote wale wanaotakaswa dhambi zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Basi, kwa tambiko yake moja, amewafanya kuwa wakamilifu milele wote wale wanaotakaswa dhambi zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 kwa sababu kwa dhabihu moja amewafanya wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 kwa sababu kwa dhabihu moja amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata milele hao wanaotakaswa. Tazama sura |