Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 10:13 - Swahili Revised Union Version

13 tangu hapo akingojea hata adui zake wawekwe kuwa chini ya miguu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 anangoja maadui zake wafanywe kama kibao chini ya miguu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 anangoja maadui zake wafanywe kama kibao chini ya miguu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 anangoja maadui zake wafanywe kama kibao chini ya miguu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Tangu wakati huo anangoja hadi adui zake wawekwe chini ya miguu yake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Tangu wakati huo anangoja mpaka adui zake wawekwe chini ya miguu yake,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 tangu hapo akingojea hata adui zake wawekwe kuwa chini ya miguu yake.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.


Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi katika mkono wangu wa kulia, Hata niwawekapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako?


Daudi mwenyewe alisema, kwa uweza wa Roho Mtakatifu, Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kulia, Hata niwawekapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Hadi niwaweke adui zako Kuwa kiti cha kuwekea miguu yako.


Hata nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.


Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke adui zake wote chini ya miguu yake.


Je! Yuko malaika aliyemwambia wakati wowote, Uketi mkono wa kulia Hata nitakapoweka adui zako chini ya nyayo zako?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo