Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 10:16 - Swahili Revised Union Version

16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika fikira zao nitaziandika; ndipo anenapo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao, siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “Hili ndilo agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Mwenyezi Mungu. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Mwenyezi Mungu. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika fikira zao nitaziandika; ndipo anenapo,

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.


Na hili ndilo agano langu nao, Nitakapowaondolea dhambi zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo