Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 10:17 - Swahili Revised Union Version

17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:17
4 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.


Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue BWANA; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hadi aliye mkubwa miongoni mwao, asema BWANA; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.


Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.


Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo