Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 10:18 - Swahili Revised Union Version

18 Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa tambiko za kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa tambiko za kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa tambiko za kuondoa dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Basi haya yaliposamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayohitajika kwa ajili ya dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Basi haya yakiisha kusamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayotolewa kwa ajili ya dhambi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata milele hao wanaotakaswa.


Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.


Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,


Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo