2 Samueli 23:2 - Swahili Revised Union Version2 Roho ya BWANA ilinena ndani yangu, Na neno lake likawa ulimini mwangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Roho ya Mwenyezi-Mungu imesema kwa njia yangu, aliyaweka maneno yake kinywani mwangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Roho ya Mwenyezi-Mungu imesema kwa njia yangu, aliyaweka maneno yake kinywani mwangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Roho ya Mwenyezi-Mungu imesema kwa njia yangu, aliyaweka maneno yake kinywani mwangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Roho wa Mwenyezi Mungu alinena kupitia kwangu, neno lake lilikuwa katika ulimi wangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Roho wa bwana alinena kupitia kwangu, neno lake lilikuwa ulimini mwangu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Roho ya BWANA ilinena ndani yangu, Na neno lake likawa ulimini mwangu. Tazama sura |