Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 9:6 - Swahili Revised Union Version

Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 9:6
17 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako.


Akubaliye kurudiwa huwa katika njia ya uzima; Bali yeye aachaye maonyo hukosa.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Sikia, mwanangu, uwe na hekima, Na kuuongoza moyo wako katika njia njema.


Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Maana, kwa msaada wangu siku zako zitazidishwa; Na miaka ya maisha yako itaongezwa.


ili waende katika amri zangu, na kuyashika maagizo yangu, na kuyatenda; nao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.


Na mtumishi wangu, Daudi, atakuwa mfalme juu yao, nao wote watakuwa na mchungaji mmoja; nao watayafuata maagizo yangu, na kuzishika amri zangu, na kuzitenda.


Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.


Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.