Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:11 - Swahili Revised Union Version

11 Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia nyofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia nyofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia nyofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ninakuongoza katika njia ya hekima na kukuongoza katika mapito ya unyoofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ninakuongoza katika njia ya hekima na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.

Tazama sura Nakili




Methali 4:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.


Ili upate kwenda katika njia ya watu wema, Na kuyashika mapito ya wenye haki.


Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


Sikilizeni, maana nitasema yaliyo mazuri, Na kufumbua midomo yangu kutakuwa maadili.


Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.


Lakini, kwa sababu huyo Mhubiri alikuwa na hekima, aliendelea kuwafundisha watu maarifa, naam, akatafakari, akachunguza, akatunga mithali nyingi.


akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyooka?


Angalieni nimewafundisha amri na hukumu, vile vile kama BWANA, Mungu wangu, alivyoniamuru, ili mzitende katika nchi mwingiayo ili kuimiliki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo