Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:12 - Swahili Revised Union Version

12 Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Ukitembea hatua zako hazitazuiwa, wala ukikimbia hutajikwaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Ukitembea hatua zako hazitazuiwa, wala ukikimbia hutajikwaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Ukitembea hatua zako hazitazuiwa, wala ukikimbia hutajikwaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa; ukimbiapo, hutajikwaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa; ukimbiapo, hutajikwaa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.

Tazama sura Nakili




Methali 4:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Umezifanyia nafasi hatua zangu, Wala miguu yangu haikuteleza.


Wana amani nyingi waipendao sheria yako, Wala hawana la kuwakwaza.


Nami nitakwenda kwa uhuru, Kwa kuwa nimejifunza mausia yako.


Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza.


Ndipo utakapofahamu haki na hukumu, Na adili, na kila njia njema.


Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama, Wala mguu wako hautakwaa.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


Uendapo yatakuongoza, ulalapo yatakulinda, Na uamkapo yatazungumza nawe.


Watakuja kwa kulia, na kwa maombi nitawaongoza; nitawapitisha kwenye mito ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza wangu.


Tena, Jiwe la kujikwaza mguu, na mwamba wa kuangusha. Kwa maana hujikwaza kwa neno lile, wasiliamini, nao waliwekwa kusudi wapate hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo