Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:13 - Swahili Revised Union Version

13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Zingatia mafundisho ya Hekima na usimwache aponyoke, mshike kwa makini maana yeye ni uhai wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Zingatia mafundisho ya Hekima na usimwache aponyoke, mshike kwa makini maana yeye ni uhai wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Zingatia mafundisho ya Hekima na usimwache aponyoke, mshike kwa makini maana yeye ni uhai wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; mshike, maana yeye ni uzima wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; mshike, maana yeye ni uzima wako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.

Tazama sura Nakili




Methali 4:13
20 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


Akubaliye kurudiwa huwa katika njia ya uzima; Bali yeye aachaye maonyo hukosa.


Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.


Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.


Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.


Maana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.


Kitambo kidogo tu nilipoachana nao, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa.


Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.


Basi Simoni Petro akamjibu, Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.


Naye, alipofika na kuiona neema ya Mungu akafurahi, akawasihi wote waambatane na Bwana kwa moyo wote.


Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.


Kwa maana si jambo lisilofaa kwenu; maana, ni maisha yenu, na kwa jambo hili mtazifanya siku zenu kuwa nyingi juu ya nchi mwivukiayo Yordani kuimiliki.


jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;


Kwa hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi hayo tuliyoyasikia tusije tukayakosa.


Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.


Ninapajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe unalishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo