Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 9:12 - Swahili Revised Union Version

Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama una hekima, itakufaa wewe mwenyewe; kama ukiidharau, mwenyewe utapata hasara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama una hekima, itakufaa wewe mwenyewe; kama ukiidharau, mwenyewe utapata hasara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama una hekima, itakufaa wewe mwenyewe; kama ukiidharau, mwenyewe utapata hasara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 9:12
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ingawaje nimekosa, Kosa langu hukaa kwangu mwenyewe.


Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Nafsi yake mfanyakazi hujifanyia kazi; Maana kinywa chake humtia bidii.


Hukumu zimewekwa tayari kwa wenye mzaha; Na mapigo kwa mgongo wa wapumbavu.


Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.


Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.


Jamaa zote zilizosalia, kila jamaa peke yake, na wake zao peke yao.


Maana kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.


akisema juu ya mambo haya kama afanyavyo katika barua zake zote pia, katika barua hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuyaelewa na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wapotoavyo Maandiko mengine, na kujiletea maangamizi wao wenyewe.