Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 16:26 - Swahili Revised Union Version

26 Nafsi yake mfanyakazi hujifanyia kazi; Maana kinywa chake humtia bidii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Hamu ya chakula humhimiza mfanyakazi, maana njaa yake humsukuma aendelee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Hamu ya chakula humhimiza mfanyakazi, maana njaa yake humsukuma aendelee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Hamu ya chakula humhimiza mfanyakazi, maana njaa yake humsukuma aendelee.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya kazi; njaa yake humsukuma aendelee.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya kazi; njaa yake humsukuma aendelee.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Nafsi yake mfanyakazi hujifanyia kazi; Maana kinywa chake humtia bidii.

Tazama sura Nakili




Methali 16:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.


Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.


Mtu asiyefaa kitu huchimba shimo la madhara; Katika midomo yake mna moto uteketezao.


Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.


Juhudi zote za binadamu ni kwa kinywa chake, Lakini hamu yake haitosheleki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo