Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 19:4 - Swahili Revised Union Version

4 Ingawaje nimekosa, Kosa langu hukaa kwangu mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Hata kama ingekuwa nimekosa kweli, kosa langu lanihusu mimi mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Hata kama ingekuwa nimekosa kweli, kosa langu lanihusu mimi mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Hata kama ingekuwa nimekosa kweli, kosa langu lanihusu mimi mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kama ni kweli nimepotoka, kosa langu ninabaki kuhusika nalo mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kama ni kweli nimepotoka, kosa langu ninabaki kuhusika nalo mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Yobu 19:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi, alipomwona malaika aliyewapiga watu, akanena na BWANA, akasema, Tazama, ni mimi niliyekosa, ni mimi niliyepotoka; lakini kondoo hawa, wamefanya nini? Mkono wako na uwe juu yangu, na juu ya nyumba ya baba yangu.


Mara kumi hizi mmenishutumu; Hamwoni haya kunifanyia mambo magumu.


Ikiwa mtajitukuza juu yangu, Na kufanya aibu yangu kuwa hoja juu yangu;


Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.


Tazama, roho zote ni mali yangu; kama vile roho ya baba ni mali yangu, ndivyo ilivyo roho ya mwana mali yangu; roho ile itendayo dhambi itakufa.


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee malipo ya mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyotenda, yawe ni mema au mabaya.


Maana kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo